JKT 6 wafariki JWTZ 2 wapotea ajali mbili tofauti.

Kanali Ngemela Lubinga (katikati).

Maofisa Wawili wa Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ) wapotea baada ya ndege ya kufundishia waliyokuwa wanatumia kudaiwa kuangukia kwenye bahari ya hindi eneo la Kawe Jijini Dar es Salaam na kuzama jana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS