Wagonjwa wa saratani wazidi kuongezeka Tanzania

Gloria Kida akizungumza na Mkurugenzi wa IAEA Yukiya Amano.

Idadi ya wagonjwa wa saratani nchini Tanzania inaongezeka siku hadi siku hususani kwa wanawake ikielezwa kuwa hali hiyo inatokana na elimu iliyotolewa kwa wananchi hivyo wengi kujotokeza kupima afya zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS