Rais Museveni kupewa sapoti na wasanii

Nyota wa muziki wa nchini Uganda, Jose Chameleleone akiwa na Rais Yoweri Museveni

Nyota wa muziki wa nchini Uganda, Jose Chameleone, Moze Radio & Weasel, Bebe Cool, na Rema kati ya wengine wengi, wameunganisha nguvu zao kutoa sapoti kwa maandalizi ya kampeni za kugombea urais, wakiwa nyuma ya rais Yoweri Museveni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS