Riz Conc kuanza wiki bila shari

Msanii wa muziki Riz Conc akiwa na Sir Zulu katika kava ya wimbo wao mpya 'Sitaki Shari'.

Baada ya kufanya vizuri kupitia projekti ya 'Sidanganyiki' akiwa amemshirikisha Juma Nature, Msanii wa muziki Riz Conc amejipanga kufungua wiki kwa ujio wa kishindo na rekodi mpya inayokwenda kwa jina 'Sitaki Shari'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS