Kingunge ang'oka CCM

Mwanasiasa mkongwe na muasisi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mzee Kingunge Ngombare Mwiru.

Mwanasiasa mkongwe na muasisi wa chama cha mapinduzi CCM mzee Kingunge Ngombare Mwiru leo ametangaza rasmi kuachana na chama chake alichokitumikia kwa muda mrefu kwa madai ya ukiukwaji wa demokrasia ndani ya chama hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS