Sina kinyongo na Dkt. Magufuli, atatuvusha-Pinda

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Mhe. Mizengo Pinda.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Mhe. Mizengo Pinda amesema yeye hana kinyongo na uteuzi wa Dk. John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais kwa tiketi ya CCM.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS