BASATA wapongeza Planet Bongo

Afisa habari wa Baraza la Sanaa Tanzania, (BASATA) Aristideus Kwizera

Baraza la Sanaa Tanzania, (BASATA) kupitia afisa habari wao Aristideus Kwizera wamepongeza kipindi cha burudani cha Planet Bongo cha East Africa Radio kwa mchango wao katika kupiga muziki wa nyumbani na kuelimisha wasanii kuhusiana na sanaa yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS