Mwanasheria kutoka ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa Ludovick Ringia
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania imekanusha uvumi wa kuwa kuna vyama vya siasa vimepitiliza gharama za kuendesha kampeni kinyume na sheria ya gharama ya uchaguzi ya mwaka 2010.