JK, Kenyatta waahidi kudumisha ushirikiano

Rais wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta

Rais wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wameahidi kudumisha ushiriakiano baina ya nchi hizo mbili hata wakati ambao Rais Kikwete atakapotoka Madarakani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS