Sarah K: TZ itavuka kwa amani

Msanii wa muziki wa injili kutoka nchini Kenya Sarah Kiarie

Msanii wa muziki wa injili kutoka nchini Kenya Sarah Kiarie ambaye amekuwa hapa nchini kwa ajili ya Tamasha la kuombea Tanzania amani, ameeleza kuwa anaamini kuwa nchi hii itavuka uchaguzi wake kwa amani na hakutatokea machafuko yoyote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS