Nonini asaidia 'Usingizi' wa yatima

staa wa muziki wa nchini Kenya Nonini

Rapa Nonini kwa kushirikiana na mastaa wenzake kupitia taasisi yao ya hisani ya Entertainment With Fun for Charity, wamefanikiwa kuchangia magodoro kwa kituo cha watoto huko Kayole, kuondoa tatizo lililokuwa linawakabili la kulala chini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS