Mgombea CHADEMA, aliyetoweka apatikana Hospitali

Mgombea ubunge jimbo la Mtwara mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joel Nanauka,

Mgombea ubunge jimbo la Mtwara mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joel Nanauka, aliyedaiwa kutoweka katika mazingira ya kutatanisha hatimaye ameonekana katika zahanati ya Bursa iliyopo manispaa ya Mtwara akipata matibabu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS