Mgombea wa Urais kupitia chama cha ACT- Wazalendo Anna Mghiwira.
Wakazi wa Arusha, Kilimanjaro na Manyara jana waliendelea kupokea Wagombea Urais kupita vyama CCM,CHADEMA, na ACT-Wazalendo katika maeneo yao huku wagombea hao wakiendelea kumwaga sera zao.