UN yataka uchaguzi huru na wa haki kulinda amani

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa(UN) na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) hapa nchini, Alvaro Rodriguez

Umoja wa Mataifa UN umeitaka nchi ya Tanzania kuhakikisha kuwa Uchaguzi unafanyika kwa amani ili kusaidia kutekeleza kiurahisi malengo mapya endelevu SDG's.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS