Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa(UN) na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) hapa nchini, Alvaro Rodriguez
Umoja wa Mataifa UN umeitaka nchi ya Tanzania kuhakikisha kuwa Uchaguzi unafanyika kwa amani ili kusaidia kutekeleza kiurahisi malengo mapya endelevu SDG's.