CUF kuboresha kilimo na ujasiriamali Zanzibar

Mgombea Urais wa Zanzibar kwa chama cha wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad

Mgombea urais wa Zanzibar kwa chama cha wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad amewahakikishia wakulima serikali yake ikipata nafasi ya kuongoza itaweka mazingira mazuri wakulima na wajasiriamali kujiendeleza na kufaidika kimaslahi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS