FAINALI DANCE 100% 2015 KUWASHA MOTO JUMAMOSI

Mashindano makali ya kucheza yaliyojizolea umaarufu mkubwa Afrika Mashariki Dance 100% 2015 yanafikia tamati jumamosi hii, ambapo mshindi wa fainali hizi mwaka huu atabeba kitita cha shilingi milioni 5 za Tanzania pamoja na zawadi nyingine.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS