Mahujaji wengine wawili wabainika kufariki

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Mindi Kasiga (katikati) akielezea jambo

Mahujaji wengine wawili kutoka Tanzania ambao walikuwa hawajaoneka toka ajali ya kukanyagana kwa mahujaji ilipotokea Makka nchini Saudia Arabia wametambuliwa kuwa ni miongoni mwa mahujaji waliofariki dunia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS