CCM kuwasaidia vijana kiuchumi.

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Muleba Kaskazini Charles Mwijage wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo hilo leo. Kulia ni Mgombea Ubunge jimbo la Meleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka

Chama cha Mapinduzi (CCM),kimesema kimeweka miundombinu na mipango thabiti ya kuwasaidia vijana kujikwamua kiuchumi na kufikia malengo waliyojiwekea ikiwa kama watafanikiwa kuingia madarakani na kupunguza matatizo ya vijana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS