Hatua bado zinachukuliwa mauaji ya albino: Manongi

Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi akizungumza wakati wa mkutano wa Umoja huo

Wakati kamishna wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, Zeid Ra'ad Al Hussein akisema watu wenye ulemavu wa ngozi, wana haki ya kuishi huru bila ubaguzi na hofu yoyote, Tanzania imesema inaendelea kuchukua hatua kutokomeza mauaji ya albino.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS