Daktari aelezea kifo cha Dk. Makaidi

MWENYEKITI Mwenza wa Ukawa na Mwenyekiti wa chama cha NLD, Emmanuel Makaidi

Mwenyekiti wa chama cha National League For Democracy (NLD) na Mgombea ubunge wa jimbo la Masasi, Dkt. Emmanuel Makaidi, amefariki dunia akiwa katika hospitali ya Nyangao, wilaya ya Lindi vijijini mkoani Lindi, kutokana na kuugua shinikizo la damu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS