Nyanda za juu kusini kuwa kitovu uzalishaji maziwa

Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi , Dkt.Titus Kamani

Serikali imeahidi kuifanya mikoa ya Nyanda za Juu kusini kuwa kitovu cha uzalishaji maziwa kwani ina mazingira mazuri yanayofaa kwa uzalishaji na ufugaji wa Ng'ombe wa Maziwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS