Waandishi wa habari watakiwa kuzingatia weledi Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga Baraza la habari Tanzania (MCT), limewahimiza waandishi wa habari nchini kuweka pembeni hulka zao za kisiasa na kuzingatia ueledi na maadili ya uandishi wa habari hasa kipindi hiki cha uchaguzi. Read more about Waandishi wa habari watakiwa kuzingatia weledi