Wasanii msikimbilie Dar- Producer DX
Producer DX kutoka studio za Noise Maker zilizoko mkoani Arusha, amewataka producer wengine wakubwa walioko mikoani kutokimbilia kufanya kazi zao jijini Dar es salaam, kwani kwa kufanya hivyo kunawanyima fursa wasanii wazuri walioko mikoani.