Kampeni za lala salama zatikisa mikoani

Wagombea Urais wanaochuana vikali katika kinyang'anyiro hicho, Mh. Edward Lowassa na Dkt. John Pombe Magufuli.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Hashim Rungwe, amesema iwapo wananchi watampa ridhaa ya kuongoza nchi, atahakikisha anajengwa viwanda mbalimbali nchi nzima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS