Femi One aunga jeshi na Chiwawa

msanii wa muziki chipukizi wa nchini Kenya Shiko Femi One

Akiwa ni mmoja wa marapa chipukizi wa kike nchini Kenya msanii Shiko Femi One baada ya kufanya vyema na track yake 'Wanjiku Kimani' hivi sasa ameamua kuungana na nyota Chiwawa katika wimbo wao mpya wa pamoja uliobatizwa jina 'Resist'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS