Serikali yatakiwa kupitia upya mfumo wa elimu

Mwenyekiti wa shule na vyuo visivyo vya kiserikali nchini,Mrinde Mzava,

Serikali ijayo imetakiwa kupitia upya mfumo wa elimu, kwa kurejesha mchujo kwa wanafunzi wanaofanya vibaya kitaaluma, ili kwenda sambamba na soko la ulimwengu linalohitaji zaidi ushindani na uhakika wa kumiliki uchumi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS