Ligi wavu ufukweni mkoa yasimama kupisha uchaguzi

Chama cha mpira wa wavu mkoa wa Dar es salaam DAREVA kimesimamisha michuano ya klabu bingwa ya mpira wa wavu mkoa wa Dar es salaam ili kuweza kupisha uchaguzi mkuu wa nchi utakaofanyika Jumapili ya wiki hii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS