Waangalizi wavitaka vyama kukubali matokeo.

Rais wa Jukwaa wa waangalizi kutoka nchi za maziwa makuu Seneta Peter Mositet ..

Jukwaa la waangalizi kutoka nchi za maziwa makuu ambao pia ni wabunge ICGLR, wamevitaka vyama vya siasa nchini Tanzania kukubaliana na matokeo ya tume ya uchaguzi kama walivyokubaliana na taratibu walizojiwekea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS