NEC kuendelea kutoa matokeo ya Urais leo

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva atangaza matokeo ya awali ya Urais

Tume ya uchaguzi nchini Tanzania NEC imetangaza matokeo ya awali katika majimbo 25 ya uchaguzi Tanzania bara na Zanzibar yakiwemo majimbo ya Kibaha, Bumbuli, Jimbo la kusini pemba na Katavi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS