Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva atangaza matokeo ya awali ya Urais
Tume ya uchaguzi nchini Tanzania NEC imetangaza matokeo ya awali katika majimbo 25 ya uchaguzi Tanzania bara na Zanzibar yakiwemo majimbo ya Kibaha, Bumbuli, Jimbo la kusini pemba na Katavi.