UKAWA walalamikia hujuma katika utoaji matokeo

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambae pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA)Freeman Mbowe.

Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wametoa tamko lao la kupinga matokeo yanayotolewa na tume na kudai mchakato huo umejaa hujuma dhidi yao ikiwa ni pamoja na kukamatwa kwa wataalamu wa IT.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS