Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Ngorongoro, Salustin Hallu
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro NCAA, imetoa shilingi 2.4 bilioni kwa mwaka huu wa fedha kwa baraza la wafugaji wa Ngorongoro ili kuwezesha miradi ya kusaidia jamii inayoishi ndani ya mamlaka hiyo.