Wasiofanya usafi kesho kuchukuliwa hatua kali

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Said Mecky Sadiki akifanya Usafi chini ya Daraja la Jeshi lililopo Mlalakuwa. Picha na maktaba

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw. Said Mecky Sadiki amewataka wakazi wa jiji Dar es Salaam kujitokeza kufanya usafi hapo kesho kama ilivyotangazwa na Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kuwa siku ya Uhuru Desemba 9, itumike kufanya usafi badala ya kusherehekea vinginevyo watachukuliwa hatua za kisheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS