LHRC walalamika kukamatwa waangalizi wao uchaguzi

Mwanasheria kutoka kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC ndugu HAROLD SUNGUSIA akizungumza na wanahabari

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimelilalamikia jeshi la polisi kwa kuwakamata wafanyakazi wake zaidi ya 40 kwa sababu zisizofahamika na kulitaka jeshi polisi kutoa taarifa ya sababu za kukamatwa kwao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS