Katibu Mkuu wa Baraza la Vijana la CHADEMA,(BAVICHA), Julius Mwita
Baraza la vijana wa chama cha demokrasia na maendeleo BAVICHA wamesema kuwa wameamua kuingilia kati kushawishi suala la utoaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kwa wao kuitisha mgomo nchi nzima.