Katiba mbovu chanzo cha mgogoro Zanzibar-ADC

Mwenyekiti wa chama cha ADC Said Miraji Abdallah

Chama cha ADC kupitia kwa Mwenyekiti wake Said Miraji kimesema kuwa mgogoro Zanzibar unasababishwa na ubovu wa katiba ya sasa ya Zanzibar ambapo amezitaka pande mbili zenye mgogoro kutatua suala hilo kidiplomasia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS