Mkurugenzi wa Mafunzo wa Chuo cha taifa cha Ulinzi ambaye pia ni Mhadhiri wa masomo ya mpango mkakati na historia katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Prof.Eginald Mihanjo
Tatizo kubwa la baadhi ya viongozi kuonekana kuwa tishio la ulinzi na usalama wa taifa limedaiwa kutokana na wengi wao kukosa malezi yanayozingatia maadili mema na nidhamu tangu wakiwa watoto.