Tanzania kuwa mwenyeji mkutano wa sheria Afrika

Raisi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu Jaji Agustino Ramadhani

ZAIDI ya wajumbe 200 wa kada ya sheria kutoka nchi mbalimbali za Afrika wanatarajia kuhudhuria mkutano wa siku tatu wa majadiliano kuhusu masuala ya sheria barani Afrika unaoanza Jumatano mjini Arusha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS