Kesho ni mapumziko - Rais Kikwete Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameitangaza kesho siku ya Alhamisi, Novemba 5, mwaka huu, 2015, kuwa Sikukuu na siku ya mapumziko. Read more about Kesho ni mapumziko - Rais Kikwete