Frasha apiga vita ulevi Kenya

Staa wa muziki Frasha kutoka kundi la P-Unit Kenya

Star wa muziki Frasha kutoka kundi la P-Unit Kenya, amejikita katika kampeni ya kupambana na utumiaji wa pombe ambao umekuwa na athari kwa kiasi kikubwa katika jamii, akiwa binafsi amekamilisha lengo la kukaa siku 40 bila kunywa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS