Mfanyabiashara wa Mbogamb oga visiwani Zanzibar akielezea hali ya biashara viwasini humo
Mgogoro wa kisiasa unaondelea kisiwani Zanzibar umeanza kuleta madhara yake baada ya bei za vyakula muhimu na vitoweo kupanda bei kwa asilimia kubwa na kuwaweka wazanzibari katika wakati mgumu.