Serikali kuboresha upatikanaji wa haki kwa raia

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Jaji Mkuu, Mstaafu Augustino Ramadhani na Jaji Mkuu wa Tanzania Othman Chande (kushoto)

Waziri mkuu Mizengo Pinda amesema serikali ya Tanzania imepania kuboresha upatikanaji wa haki kwa raia kwa kusogeza huduma za mahakama karibu na wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS