Maandalizi kuapishwa Rais yamekamilika: Serikali Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Asah Mwambene Serikali imesema kuwa maandalizi ya sherehe ya kumwapisha Rais mteule wa awamu ya tano Dkt. John Pombe Magufuli yamekamilika na wageni waalikwa wameshaanza kuwasili nchini. Read more about Maandalizi kuapishwa Rais yamekamilika: Serikali