Maandalizi kuapishwa Rais yamekamilika: Serikali

Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Asah Mwambene

Serikali imesema kuwa maandalizi ya sherehe ya kumwapisha Rais mteule wa awamu ya tano Dkt. John Pombe Magufuli yamekamilika na wageni waalikwa wameshaanza kuwasili nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS