Malinzi amaliza mgogoro ZFA
Kufuatia tishio la Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) la kutaka kuifungia Zanzibar ushiriki wa shughuli za mpira duniani, Rais wa TFF Jamal Malinzi aliitisha kikao cha usuluhishi na kufanikiwa kutatua mgogoro ndani ya ZFA.