ZEC yatakiwa kukaa na Seif kumaliza mgogoro Z'bar
Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad wametakiwa kukaa meza moja na kutafuta muafaka wa tatizo la uchaguzi mkuu linaloendelea kwa sasa visiwani humo.