Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na rais mteule wa awamu ya tano Dkt. John Pombe Magufuli
Rais Mteule Dkt. John Pombe Magufuli anaapishwa leo kuwa Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi baada ya kushinda katika uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu.