Kuitwa "Underground" ni changamoto kwangu - Fid Q Msanii Fid Q amesema kitendo cha 'Injinia' wa muziki kutoka Afrika Kusini kumuita "Underground", kimempa changamoto za kufanya jitihada zaidi ili aweze kufika hatua ya kujulikana kimataifa. Read more about Kuitwa "Underground" ni changamoto kwangu - Fid Q