Mkuu wa Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma, Francis Monga
Takribani watu 360 katika kata ya Kigwe Wilayani Bahi mkoani Dodoma wamekosa makazi baada ya nyumba zao 96 kuezuliwa mapaa kutokana na mvua kubwa iliyoambatana na upepo kunyesha Novemba 2 mwaka huu.