Mabadiliko tabia nchi yaanza kuleta madhara Same
Hali ya uzalishaji wa mazao ya chakula mkoani Kilimanjaro sio ya kuridhisha kutokana na athari za mabadiliko ya tabia nchi kwa kukosa mvua kwa wakati na kusababisha wakazi eneo hilo kuwa katika hatari ya kukumbwa na baa la njaa.