Stars kujipima na Tucks Fc Jumapili wiki hii
Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Jumapili kinatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya University of Pretoria (Tucks FC) jijini Johannesuburg ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo dhidi ya Algeria.