Mkurugenzi wa utawala na rasilimali watu kutoka ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali ,Gerald Mwanilwa
Serikali imeshauriwa kutoa elimu zaidi kwa wakaguzi wa ndani na wa nje juu ya mfumo wa kieletroniki ili kuwawezesha kufanya kazi zao kisasa na kitaalamu zaidi.