Serikali yashauriwa kutoa elimu wakaguzi wa ndani

Mkurugenzi wa utawala na rasilimali watu kutoka ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali ,Gerald Mwanilwa

Serikali imeshauriwa kutoa elimu zaidi kwa wakaguzi wa ndani na wa nje juu ya mfumo wa kieletroniki ili kuwawezesha kufanya kazi zao kisasa na kitaalamu zaidi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS