ATE yataka Dkt. Magufuli kushughulikia Kero zao

Mkurugenzi Mtendaji wa Chama Cha Waajiri nchini (ATE) Dkt Aggrey Mlimuka.

Chama cha waajiri nchini Tanzania (ATE), kimeorodhesha baadhi ya mambo yanayotakiwa kufanyiwa kazi na serikali ya Rais Dkt. John Magufuli ili kuleta tija kazini na kuboresha mazingira ya kazi miongoni mwa wafanyakazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS