TGNP yataka utakelezaji ahadi kwa viongozi wateule
Mtandao wa Jinsia nchini Tanzania(TGNP) umesema kuwa unategemea serikali iliyoingia madarakani itatekeleza ahadi zake pamoja na kuzingatia usawa wa kijinsia katika kuundwa kwa Serikali kutokana na Tanzania kusaini Mikataba mbalimbali ya kimataifa.