Kikosi cha wachezaji 24 Algeria kuwasili Alhamisi

Msafara wa timu ya Taifa ya Algeria unatarajiwa kuwasili nchini siku ya Alhamisi ukiwa na jumla ya watu 65 wakiwamo wachezaji 24 tayari kwa mchezo wa Jumamosi Novemba 14 dhidi ya wenyeji Tanzania katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS